Posts

Showing posts from 2018
Image
                   KIONGOZI/A LEADER: Kabla ya yote kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa yote anayoendelea kutujaria ktk maisha yetu. Leo nimependa kuwashirikisha kuhusu kiongozi ni nani? Na sifa bora za kiongozi. Kwani kwa namna yoyote ile sisi sote ni viongozi kwani uongozi haukwepeki popote utakapokwenda itafikia kipindi itakulazimu uwe kiongozi. Kama sio wa serikali basi dini na kama sio hapo basi familia. Sasa basi kwa namna yoyote ile kujifunza kuhusu uongozi au kiongozi bora hakuepukiki. Ndugu zangu uongozi unabeba vitu vingi sana ktk maisha yetu kwani ukihitaji kuwa na mafanikio ya aina yoyote ile yanahitaji kupitia kwenye misingi ya uongozi bora. Kwa mfano: ukitaka maendeleo ya kiuchumi lazima uongozi bora utahitajika, ukitaka familia bora lazima uongozi bora utahitajika, ukitaka Amani ktk nchi lazima uongozi bora unahitajika.  Yaani ni mahali popote uongozi bora uhahitajika. Kwa ufupi sana leo tutakwenda kujifunza na ...
UNCOVER Your POTENTIAL                             Hellow Hellow hellow  Dear brothers and sisters. Before each and everythings.   JUST AS k yourself the following q uestions: Who am I? Why am I here? How much potential do I have? What am I capable of doing? By what criteria should I measure my ability? Who sets the standards? By what process can I maximize my ability? What are my limitations? Within the answers to these questions lies the key to a fulfilled, effective life. One of the greatest tragedies in life is to watch potential die untapped. Many potentially great men and women never realize their potential because they do not understand the nature and concept of the potential principle. As God has revealed to me the nature of potential, I have received a burden to teach others what I have learned. There’s a wealth of potential in you. My purpose is to help you understand that ...
USIOGOPE FEAR NOT  {USIOGOPE} . Je unajua. Mungu anatumia wanadamu kama daraja la M ungu kukushika mkono??. USIOGOPE. soma mpaka mwisho utaelewa. Dear brothers, sisters and Friends; first of all we have to know that before God formed us in our mother’s wombs, and before we came forth out of the womb, He sanctified us, and ordained us to come on this earth and fulfill a specific assignment for Him. See; God over this days has set us to be born in Tanzania – the “third world nation” for a specific purpose. Because God does nothing without having a reason for what he is doing. (See Jeremiah 1:5 Isaiah 46:9-10)   fear not{usiogope}. God has no plan for anyone to fail Therefore we have to be confident because just like the way normal manufacturers don’t like their product to fail, the same thing is very true for God. Because He is our manufacturer and we are His products. Therefore any of our failure is bad for God, since we are of his own image and of his likeness. God ...